Rayvanny Dating Daughter To Harmonize’s New Bae, Kajala Masanja | PICTURES

February 16, 2021
Rayvanny

Rayvanny

WCB singer Rayvanny is said to have spent his Valentines Day with a minor, Paula Kajala. As far as the story goes is that Vanny boy and Paula Kajala – who is the daughter to Harmonize’s new girlfriend Kajala Masanja have been involved for a while now.

This was confirmed by a video shared by Rayvanny where he is seen in the company of the 18 year old lady who is still in high-school. Apparently this was a mistake for the WCB singer to openly show that he is in a relationship with young girl who is still in form 5.

18 year old Paula Kajala with Rayvanny

With their videos making rounds – from one social media platform to another; Paula’s mum who is a renowned actress addressed this issue through her social media pages. She however went on to blame Hamisa Mobetto for being the link between her daughter and the singer. Through her page Kajala wrote;

“Mimi ni mzazi ambaye namlea mtoto wangu kwa katika mazingira magumu sana kutokana na tofauti moja mbili tatu na baba mtoto wangu lakini mimi nilikuwa nikipambana na kumpa kila anachotaka mtoto wangu ili aweze kutimiza ndoto zake kama msichana mana kesho nitakuja kumtegemea. Lakini pia nilikuwa nikikumbana na changamoto tofauti tofauti ambazo zinamkumba paula kama msichana lakini shutuma nyingine huwa zinanijia mimi direct kama mzazi wa paula sina budi ya kuzipokea na kukumbana nazo as long as Mungu anajua ukweli wangu ,jinsi gani namtunza mwanangu na kiasi gani napambana kwa ajili ya mwanangu,basi yote yaliyotokea ya kunichafua na kunifanya nionekane mbaya kwenye jamii huwa namwachiaga Mungu tu”.

From Kajala’s post, it’s evident that she feels Hamisa may have introduced her daughter to prostitution; something she as a mother dreads. Through her gram Kajala went on to add;

18 year old Paula Kajala

“likuwa tarehe 9 saa 6 mchana hamisa mobeto aliniomba kutoka lunch na mwanangu, sikuona haja kumkatalia kwa sababu nilijua yeye ni mzazi ambaye ana mtoto pia wa kike,kumbe ndo hiyo siku alitake advantage kwenda kumkutanisha na rayvanny kwa manufaa yake binafsi,walimrubuni mtoto mdogo kwa kumnywesha pombe,wamemrecord video Chafu sawa mimi ni Mnyonge siwezi wafanya Chochote basi Hata Muogopeni Mungu Kama Mungu Hamumuoni Hamuiogopi serikali ? na kuvujisha video bila woga wakati ni mtoto mdogo anasubiria mwezi wa 6 kuingia form 5 siamini kama kuna alie juu ya sheria Katika taifa hili kama leongo lilikuwa ni Kudet Mtoto Mdogo ili Kutimiza Matendo Haya Machu Ya Kustaajabisha haitoshi mnampatia mtoto pombe na kumrecord Video chafu lengo lilikuwa nini Kama sio kuharibu Maisha ya msichana wa kitanzania ?”

Paula Kajala with her mum, Kajala Masanja

The lady went on to add;

“Nimeumizwa mno na Hamissa mzazi mwenzangu hata kama iwe paula ndo alimwambia anaenda kukutana na rayvanny kama yeye mzazi ange Vaa kiatu changu na kujiuliza kinachoenda kutokea ni kitu gani au kama ni mimi nafanyiwa hivi ningejisikiaje? nimeshikwa na bumbuazi sina nguvu naomba Mamlaka husika wanisaidie kwenye hili mana hili pigo ni lawazazi Wote Duniani
Paula ni msichana mdogo sana ana ndoto zake leo hii ameharibiwa profile nzima Je mmefikiria maamuzi gani anaweza chukua huyu mtoto kuona video kama hizi zinatambaa mtandaoni kama akiamua kujinyonga je?.
Naomba sana msaada serikali yangu na mamlaka husika juu ya hili. 

Seeing that she was being dragged into a nasty mess; Hamisa Mobetto on the other hand distanced herself from the stories saying;

“amani hata kama HAMISA MOBETTO ndio jumba bovu lenu la kutupia takataka ifike mahala ifike ukomo. Siamini kama baada ya kukaa na kutafakari cha kuexplain kuhusu haya mmeona mimi ndio ninaweza kuwa Damage Controller. Kajala hiyo tarehe 9 mwanao aliniomba nimtoe Lunch, nikamwambia inabidi niongee na wewe kwanza, na nikakupigia ukaona ni sawa tu.”

Paula with Hamisa

According to Hamisa Mobetto, all she did was take Paula for lunch; but whatever happened after that is all Paula’s plan. Hamisa went on to add;

“Nilimtoa Lunch na muda wote nilikua naongea na wewe kwenye simu mpaka nimemrudisha hapo Gym kwako Mimi mwenyewe soon after lunch. Na huoni Kama unaongea uongo hadharani bila woga?? Siku ninatoka na Paula alikuwa na nywele hizo za kwenye videos? Naomba nilaumiwe kwa kukubali ombi la kumpeleka mwanao lunch na si vinginevyo. Mimi ni Mama, mfanya biashara, mdau na balozi wa makampuni mbali mbali. Brand yangu nimeijenga kwa muda mrefu hivyo ningependa iheshimike na isichafuliwe kwa shutuma za uongo kama hizi. Mimi pia ni mzazi na mtoto kwa mama yangu kama ilivyo wewe”.